Friday, April 14, 2017

TANGAZO


mtandao wa Nacte utafunguliwa kuanzia tarehe 26/4/2017 hadi mwezi wa saba na masomo yataanza mwezi wa tisa mwaka 2017 kwa kozi za

1.TECHNICIAN CERTIFICATE IN PHARMACEUTICAL TECHNOLOGY
sifa za mwombaji
*awe amehitimu kidato cha 4 au 6 na kufaulu masomo manne physics, chemistry, biology na somo lolote la arts(sanaa)

2.BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN PHARMACEUTICAL TECHNOLOGY
sifa za mwombaji
* awe amehitimu kidato cha 4 au 6 na kufaulu masomo manne ikiwemo chemistry na biology

3.BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN COMMUNITY HEALTH
sifa za mwombaji
*awe amehitimu kidato cha 4 au 6 na kufaulu masomo manne ikiwemo biology.

Karibu ujiunge na Chuo cha NJOMBE HEALTH TRAINING INSTITUTE. gharama zetu ni nafuu Sana wote mnakaribishwa kwa Mawasiliano zaidi piga simu namba:
0755892807
0755302727
0626414913