Staa wa Barcelona, Neymar, usiku wa kumkia leo ametimiza ndoto ya taifa lake la Braz,ila kutwaa ubingwa wa soka katika michezo ya Olimpiki baada ya mtihani huo kuwashindwa kaka zake wengi waliocheza katika taifa hilo miaka iliyopita. 21Aug2016
No comments:
Post a Comment