Sunday, August 21, 2016

NEYMAR AIPA UBINGWA BRAZIL

Staa wa Barcelona, Neymar, usiku wa kumkia leo ametimiza ndoto ya taifa lake la Braz,ila kutwaa ubingwa wa soka katika michezo ya Olimpiki baada ya mtihani huo kuwashindwa kaka zake wengi waliocheza katika taifa hilo miaka iliyopita.  













21Aug2016
Next

No comments:

Post a Comment