Saturday, September 3, 2016

POLISI DODOMA KUWAPIMA SIMBA SC LEO



Na Abdallah Mohamed, Dodoma


Timu ya Polisi ya mkoani hapa leo itajitupa uwanja wa Jamhuri kujipoima dhidi ya Simba SC katika mechi inayotarajiwa kuwa ya kusisimua.
Ikiwa na mshambuliaji wake matata Fredrick Blagnon,Simba itajiuliza kwa mara nyingine leo baada ya kupata sare na JKT RUVU katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara wiki iliyopita.

No comments:

Post a Comment